Saturday, January 3, 2009

Mwl.A .Chiwalala atunikwa tuzo la Sanaa Finland






Ninayoheshima na furaha kuwataarifu kwamba Arnold Chiwalala mwanamuziki/mwalimu wa Kitanzania anayechukua Shahada ya Uzamivu katika Chuo Kikuu Cha Muziki Cha Sibelius (Sibelius Academy) ametunukiwa Tuzo ya Dhahabu ya muziki wa Ala ya Kantele 2008. Kantele ni ala ya kiasili ya Finland. Tuzo hii hutolewa kila mwaka na Wizara ya Utamaduni ya Finland kwa mwanamuziki bora ambaye amechangia katika utunzi(composition) na uendelezaji (promotion) wa ala ya Kantele ndani na nje ya Finland.

Arnold Chiwalala ni muhitimu na mwalimu kutokea Chuo cha Sanaa Bagamoyo. Vile vile ni mwanamuziki, mtunzi, muandishi wa nyimbo na mbunifu wa miondoko (choreographer). Kazi za Mwalimu Chiwalala zinatambulika kimataifa ambapo ameshiriki katika warsha, matamasha na makongamano sehemu mbali mbali ulimwenguni ikiwemo Tanzania, Zambia, Zimbabwe, Msumbiji, Uingereza, Ujerumani, Marekani, Urusi, Norway, Denmark,Sweden,Finland, Estonia na Yugoslavia.
contact.Arnold Chiwalala email, achiwala@siba.fi, Simu +358405290622

Nakutakia kazi njema na kila la heri katika mwaka mpya wa 2009.
( katika picha wa kati ni Mwl Anorld chiwalala na Menard mponda,Ricardo padilla,Aliko Mwakanjuki na Topi korhonen katika kazi mbali zikiwemo Bandubandu,Sisi Njia panda na Chizentele kazi zote hizi zilitumia takribani miaka Mitano na kum wezesha Mwl kuatunikwa tuzo Nishani ya dhahabu mwaka 2008.

Friday, December 26, 2008

Happy New Year

We wish u a happy new year 2009 with more employment opportunities for struggling unemployed artists around the World

Thursday, November 20, 2008

Wasanii na Sheria


There is a saying that dont let go to your head, I am not sure if our top ranked artist cause this Crimes or its just a price a popular artist has to pay! the trend started with Babu Sea, then T.I.D now its the artist on the picture ,though not convicted but this crimes carries a heavy penalty if found guilty.

Tuesday, February 26, 2008

Thursday, September 27, 2007

R.I.P G.Kaduma

R.I.P
What a way to uplift the existence of the blog by mourning the early Departure of our beloved Godfather of the Arts and culture scenario in Tanzania for pics and and further info please click here http://issamichuzi.blogspot.com/2007/09/buriani-mzee-kaduma.html#comments

Thursday, September 6, 2007

Are we still underconstraction?

Yes Probably we are still under constraction this site will take as much time as the management of the arts in Tanzania bare with us thanks.

Tuesday, March 6, 2007